UKURASA WA 1101; Uhuru, Uvumilivu Na Nguvu Ni Zao La Kitu Hichi Kimoja…

By | January 5, 2018
Watu wamekuwa wakisema fedha au utajiri siyo mzuri, kwa sababu wakiwaangalia baadhi ya watu wenye fedha na utajiri, wamekuwa watumwa kwa fedha na utajiri wao. Mtu anakuwa na fedha na mali nyingi, lakini bado haridhiki, anaona kuna kitu anakosa, anazidi kutaka zaidi na zaidi. Hiyo hali ya kutaka zaidi na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz