UKURASA WA 1221; Njia Mbili Za Kukabiliana Na Mabaya Yanayotokea Kwenye Maisha…

By | May 5, 2018
Kuna mabaya, majanga mbalimbali yanayotokea kwenye maisha yetu ya kila siku. Ni mambo ambayo hatukutegemea yatokee, lakini pia hatuwezi kuyazuia yasitokee. Mfano ukame, mafuriko, magonjwa ya mlipuko na kadhalika. Yapo mabaya na majanga mengi ambayo tumewahi kukutana nayo na tutaendelea kukutana nayo. Unaweza kuomba sana usikutane na mabaya hayo, lakini

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz