MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
UKURASA WA 1221; Njia Mbili Za Kukabiliana Na Mabaya Yanayotokea Kwenye Maisha…
Kuna mabaya, majanga mbalimbali yanayotokea kwenye maisha yetu ya kila siku. Ni mambo ambayo hatukutegemea yatokee, lakini pia hatuwezi kuyazuia yasitokee. Mfano ukame, mafuriko, magonjwa ya mlipuko na kadhalika. Yapo mabaya na majanga mengi ambayo tumewahi kukutana nayo na tutaendelea kukutana nayo. Unaweza kuomba sana usikutane na mabaya hayo, lakini