UKURASA WA 1220; Jinsi Ya Kumshinda Goliath Wako…

By | May 4, 2018
Hadithi ya Daudi na Goliath ni hadithi ambayo kwa namna tofauti imefundishwa kwenye kila jamii, kuhusu mtu mdogo anayepindua mtu mkubwa na kuleta mabadiliko. Kila mmoja wetu ni Daudi kwenye eneo fulani, na kuna Goliath ambaye anamsumbua, ambaye ni mkubwa na anatumia ukubwa wake kuwakandamiza wengine. Iwe ni kwenye kazi,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz