1388; Namba Hatari Sana Kwenye Maisha Yako…

By | October 19, 2018
Kuna namba moja hatari sana kwenye maisha yako, namba hii ni hatari kwa chochote kile unachofanya, ni namba unayopaswa kuijua na kuiepuka kwa namna yoyote ile. Namba hiyo ni namba moja. Namba moja, kwenye jambo lolote kwenye maisha ni namba hatari. Unapoweka mategemeo yako yote kwenye kitu kimoja, unajiweka kwenye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz