MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; DUNIA ITAKURUSHIA VITU…
Seneca said, “Things will get thrown at you and things will hit you. Life’s no soft affair.” Siku mpya, Siku bora na ya kipekee sana imeanza. Ni siku ambayo umekuwa unaisubiria kwa hamu, siku ambayo jana ulisema kesho nita…. Kesho ya jana ndiyo tayari imeshafika hivyo nenda kachukue hatua leo.