1658; Kila Mtu Ana Siku Mbaya…

By | July 16, 2019
Kosa kubwa tunalofanya kwenye maisha yetu na mwenendo wetu wa kila siku ni kujifikiria zaidi sisi wenyewe kuliko wengine. Kwa mfano wewe ukiwa unaumwa na kichwa unataka kila mtu aelewe ni maumivu kiasi gani unayapata. Lakini mtu mwingine anapokuambia anaumwa na kichwa ni rahisi kumwambia ajikaze au avumilie, hasa pale

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz