#TAFAKARI YA ASUBUHI; SIYO MWISHO WA DUNIA…

By | March 15, 2020
Ugonjwa wa mafua makali unaosababishwa na vizuri vya Corona unaoendelea kwa sasa duniani, siyo mwisho wa dunia. Licha ya nchi nyingi kufunga kabisa shughuli zote za mikusanyiko na kuzuia safari za kuingia au kutoka kwenye nchi hizo, siyo mwisho wa dunia. Dunia imewahi kupitia hali za hatari kuliko hii tunayopitia

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz