MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA ASUBUHI; SIYO MWISHO WA DUNIA…
Ugonjwa wa mafua makali unaosababishwa na vizuri vya Corona unaoendelea kwa sasa duniani, siyo mwisho wa dunia. Licha ya nchi nyingi kufunga kabisa shughuli zote za mikusanyiko na kuzuia safari za kuingia au kutoka kwenye nchi hizo, siyo mwisho wa dunia. Dunia imewahi kupitia hali za hatari kuliko hii tunayopitia