1901; Muujiza Usio Muujiza…

By | March 15, 2020
Kuna vitu vingi vinatokea kwenye maisha yetu na tunafikiri ni miujiza au bahati mbaya, lakini siyo, ni vitu ambavyo tumevitengeneza wenyewe au tumeruhusu vitokee kwa kujua au kutokujua. Mfano mtu anapojikuta kwenye madeni au amefilisika, hili halitokei kama muujiza au ajali, bali hatua za kifedha ambazo mtu huyo amekuwa anachukua

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz