Njia Kumi Za Kusoma Soko.

By | March 17, 2014
Kama unataka kuanza biashara au unataka kukuza biashara yako ni vyema kupima soko unaloingia kabla ya kuingia. Hii itakupa mwanga wa kitu gani unakwenda kukutana nacho. Ni muhimu kufanya utafiti wa soko ili kujipanga jinsi utakavyoingia kwenye soko hilo. Kwa bidhaa ama huduma yoyote unayotoa au unayopanga kutoa pima soko

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz