Njia Kumi na Mbili za Kutengeneza Thamani Kwenye Biashara.

By | April 1, 2014
Kama tulivyoona kwenye makala zilizopita, ili kuweza kuanzisha na kukuza biashara ni muhimu sana kutengeneza thamani. Ni muhimu kutengeneza kitu ambacho watu wanakihitaji na wana uwezo wa kulipia bei unayouza ili kukipata kitu hicho. Katika kuanzisha biashara ubunifu mkubwa unahitajika ila huna haja ya kubuni kitu ambacho haipo kabisa kwenye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz