Aina Tisa Za Thamani Ya Kiuchumi Kwenye Biashara.

By | April 16, 2014
Mteja anapotoa hela kwa ajili ya kununua biashara yako au kulipia huduma yako ina maana kwamba kuna thamani kubwa ya kiuchumi ameiona kwenye bidhaa hiyo ambayo inazidi umuhimu wa hela anayotoa. Hakuna mtu anayependa kupoteza fedha zake hasa pale ambapo zimepatikana kwa shida. Hivyo mpaka mteja achukue hatua ya kukupa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz