FEDHA; Anza Kujenga Tabia Ya Kujiwekea Akiba.

By | July 15, 2014
Kama umefanya zoezi la wiki iliyopita mpaka sasa utakuwa unajua ni wapi fedha zako zinatoka na muhimu zaidi ni wapi fedha zako zinakwenda. Kama ulikuwa mwaminifu kwenye kuandika vizuri mapato na matumizi yako utakuwa umeanza kupata picha ni kiasi gani cha fedha unapoteza kila siku. Kama hukupata nafasi ya kufanya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz