Rich Dad, Poor Dad; Utangulizi.

By | August 14, 2014
Karibu kwenye uchambuzi wa vitabu ambapo tutakuwa tukichambua baadhi ya vitabu vizuri ambavyo vinaweza kuwa msaada mkubwa kwenye kuboresha maisha yetu. Katika uchambuzi huu tutajifunza yale mambo muhimu ambayo yameandikwa kwenye kitabu husika na tutaona ni jinsi gani tunaweza kutumia tunayojifunza kwenye maisha yetu. Katika uchambuzi wa vitabu tutaanza na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KITABU; RICH DAD, POOR DAD

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz