Matumizi mazuri ya muda kwenye ujasiriamali.

By | August 18, 2014
Moja ya faida kubwa za kuwa mjasiriamali ni kwamba unakuwa na uhuru na muda wako. Tofauti na mtu aliyeajiriwa ambaye anahitajika kufika kazini kabla ya saa mbili na hawezi kuondoka mpaka saa kumi, wewe mjasiriamali una faida kubwa kwa kuamua ufanye nini na wakati gani. Pamoja na kuwa na uhuru

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz