Mambo Matano Yanayowazuia Wajasiriamali Wengi Kufikia Mafanikio Makubwa.

By | August 25, 2014
Unapokuwa mjasiriamali hakuna kiwango cha mwisho cha mafanikio unachoweza kufikia, hii ina maana kwamba unaweza kufikia mafanikio makubwa zaidi ya hayo uliyonayo sasa. Tofauti na mwajiriwa ambaye mshahara wake unajulikana na hata ka autaongezeka ni kidogo sana, mjasiriamali unapanga kipato chako mwenyewe na hivyo unaweza kukiongeza bila ya kuomba au

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz