SIKU YA 4; Nguvu Ya Kuamini.

By | September 4, 2014
Kuna nguvu moja inayokuwezesha kufanikiwa na kupata chochote unachotaka. Nguvu hii inaweza kushinda vikwazo, changamoto na hata kushindwa. Nguvu hii ni NGUVU YA KUAMINI. Bila nguvu ya kuamini una uhakika wa kushindwa kwenye jambo lolote unalofanya. Kwa kuwa nayo kufanikiwa ni uhakika. Nguvu ya kuamini inaweza kukupatia mambo haya matatu;

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SIKU 30 ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz