SIKU YA 6; Epuka Mawazo Yenye Sumu.

By | September 6, 2014
Kuna watu wengi duniani ambao ni wagonjwa wa mawazo kuliko walivyo wagonjwa wa mwili. Magonjwa haya ya mawazo yanasababishwa na ukosefu wa virutubisho muhimu kwa akili. Virutubisho muhimu kwa akili ni mawazo mazuri na yenye kujenga. Watu wenye ugonjwa wa mawazo ni watu ambao mara zote wanaingiza mawazo yenye sumu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SIKU 30 ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz