SIKU YA 11; Jinsi Ya Kuanza Safari Yako Ya Mafanikio.

By | September 11, 2014
Kwa kuwa sasa umeshaamua kujiajiri mwenyewe au kufanya biashara kuna mambo ya msingi unahitaji kuyajua au kuyakamilisha ili uweze kufikia mafanikio makubwa. Jiulize kama kuwa bosi wako mwenyewe ni kitu muhimu sana kwako, jiulize kama ni mtu ambaye unaweza kufikia mafanikio ukiwa unajifanyia kazi yako. Jiulize ni yapi madhaifu yako

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SIKU 30 ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz