Njia 10 Rahisi Za Kuondoa Msongo Wa Mawazo.

By | September 15, 2014
Msongo wa mawazo ni kitu kibaya sana kwa afya yako na hata kwa kazi au biashara yako. Unapokuwa na msongo wa mawazo huwezi kufanya maamuzi sahihi na hivyo kujikuta ukipata matatizo zaidi. Japokuwa hakuna anayependa kuwa na msongo wa mawazo, maisha yetu ya kila siku yanatutengenezea msongo wa mawazo. Msongo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz