SIKU YA 16; Jinsi Ya Kushinda Vikwazo Kwenye Maisha Yako.

By | September 16, 2014
Nguvu kubwa ya kufanya na kukamilisha mipango yetu ipo ndani ya akili zetu. Tunajifungia kwenye gereza la akili zetu kwa kufanya yale ambayo tunayafanya kila siku. Hatuiachii akili yetu uhuru wa kutambua na kutumia fursa nyingine ambazo zinapatikana. Tatizo kubwa la wengi wetu, kutokana na woga au kutokujiamini hawaruhusu akili

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SIKU 30 ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz