Faida 5 Za Kukimbia Dakika 5 Kila Siku.

By | September 17, 2014
Kila mtu anafahamu kwamba mazoezi ni kitu muhimu sana kwa afya njema na maisha kwa ujumla. Lakini inapokuja kwenye kufanya mazoezi, watu wengi hufikiri ni lazima kwenda kwenye eneo maalumu la mazoezi au kununua vifaa maalumu. Kwa hiyo ukosefu wa vifaa hivyo na ukosefu wa muda pia hufanya watu wengi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz