Mambo Matano(5) Ya Kufanya Wakati Unaelekea Kukata Tamaa.

By | September 17, 2014
Maisha yana changamoto nyingi sana. Kuna wakati mambo yanaweza kuwa magumu sana kwako na kuona kama vile huo ndio mwisho wa dunia. Huu ndio wakati ambao unakata tamaa na kuona haiwezekani tena. Kabla ya kufikia hali hii ya kukata tamaa kuna mambo matano ya kufanya ambayo yatabadili kabisa hali yako.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz