Fanya Mambo Haya Matano Kila Siku Asubuhi Na Utakuwa Na Siku Yenye Mafanikio.

By | September 18, 2014
Kila siku inayoanza ni siku mpya kwako kuleta mabadiliko kwenye maisha yako na dunia kwa ujumla. Hijalishi siku ya jana ilikuwaje kwako, ila leo unayo kwenye mikono yako na ni uamuzi wako kama unataka kuifanya siku yenye mafanikio au unataka kuipoteza. Fanya mambo haya matano kila siku asubuhi na utakuwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz