Faida Tano Za Muziki Kiafya Na Mziki Mzuri Unaoweza Kusikiliza Leo.

By | September 20, 2014
Watu wengi wanapenda kusikiliza mziki ili kuburudika, ila mziki una faida nyingi sana ukiacha kuburudika tu. Mziki una faida kiafya kwa yeyote anayesikiliza. Ila mziki tunaozungumzia hapa ni mziki laini. Zifuatazo ni faida tano za mziki kiafya. 1. Mziki husaidia hupunguza maumivu. Watu ambao wanateseka na maumivu makali wameonesha kupata

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz