JE WAJUA? Mambo Kumi Usiyojua Kuhusu Kupumua.

By | September 26, 2014
1. Mtu mzima anapumua mara 23,000 kwa siku. 2. Kazi kubwa ya kupumua sio kupata oxygen, bali kuondoa kabon dayoksaidi. 3. Kupumua kwa kutumia mdomo ni hatari kwa afya yako. 4. Unavyopumua kwa kasi ndivyo inavyozidisha njaa na acid kwenye mwili wako. 5. Unatakiwa kufanya mazoezi kwa kiwango ambacho utaweza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz