SIKU YA 30; Misingi Ya Afya Bora Ili Kufikia Mafanikio.

By | September 30, 2014
Hata uwe na mipango mikubwa na mizuri kiasi gani ya kufikia mafanikio, kama hutakuwa na afya nzuri ni vigumu sana kuweza kufikia mafanikio makubwa. Na kama kwenye safari yako ya kuelekea kwenye mafanikio utaisahau afya yako, hata ukifanikiwa halafu afya yako ikawa mbaya hutaweza kuyafurahia mafanikio yako. Ili kuweza kufikia

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SIKU 30 ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz