Acha mara moja kulalamikia mambo haya matano.

By | October 8, 2014
1. Biashara yako haikui Ili biashara yako ikue unahitaji kukua wewe kwanza. Kulalamika hakutakusaidia lolote. Anza kukua wewe na biashara yako itakua.Utakua kwa kujifunza zaidi.2. Una afya mbovu Afya yako mbovu umeitengeneza wewe mwenyewe kwa tabia zako unazoendekeza. Inawezekana kula hovyo, kutokufanya mazoezi, kutokuzingatia kanuni za afya n.kBadili yanayoharibu afya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz