Hii ndio faida ya kushindwa.

By | October 11, 2014
Moja ya vitu vinavyowazuia watu wengi kufikia mafanikio ni hofu ya kushindwa. Unaona kushindwa kama adui mkubwa ambae hupaswi hata kukutana nae.Unakosea sana unavyofikiri hivyo. Kushindwa kunaweza kuwa kitu kizuri na kuwa na faida kubwa kwenye maisha yako.Unaposhindwa unakuwa umejifunza ni njia au kitu gani hakifanyi kazi vizuri ja hivyo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz