Mambo matatu unayotakiwa kufanya ili kufanikiwa kwenye biashara.

By | November 24, 2014
Kuwa kwenye ujasiriamali au biashara ni jambo moja, kupata mafanikio kupitia ujasiriamali ni jambo jingine ambalo ni muhimu sana kwa kila mjasiriamali. Sio kazi ngumu sana kuanza biashara hasa pale unapokuwa huna kingine cha kutegemea isipokuwa kuingia kwenye biashara. Ila ni kazi ngumu kidogo kufikia mafanikio makubwa kupitia biashara yako.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz