THE RICHEST MAN; Mfanyabiashara wa Ngamia wa Babeli.

By | November 27, 2014
Jinsi ambavyo mtu anakuwa na njaa kali ndivyo jinsi ambavyo akili yake inafikiria sana na pia anasikia sana harufu ya chakula. Tarkad mtoto wa Azure, alifikiria hivi. Na kwa siku mbili alikuwa hajapata chakula cha maana zaidi ya matunda aliyochuma kwenye bustani. Hakuweza kupata matunda mengine ya kula kwa sababu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: THE RICHEST MAN IN BABYLON

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz