Umuhimu wa taasisi za fedha kwenye maendeleo ya mjasiriamali.

By | December 1, 2014
Fedha ndio damu ya biashara au ujasiriamali wa aina yoyote. Baada ya kuwa na wazo zuri la kijasiriamali kinachofuata ni utekelezaji ambao unahitaji fedha. Na kwa kuwa fedha hazipatikani kirahisi inawalazimu wajasiriamali wengi kuanza kidogo na kuendelea kukua kadiri siku zinavyozidi kwenda. Leo tutajadili umuhimu wa taasisi za fedha kama

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz