Hii Ndio Ardhi Yenye Utajiri Mkubwa Sana Duniani.

By | December 4, 2014
Kuna ardhi yenye utajiri na thamani kubwa sana duniani… Ardhi hiyo sio yenye visima vya mafuta.. Na wala sio ardhi yenye migodi ya madini… Bali ardhi hiyo ni makaburi, Makaburi yamejaa ndoto nyingi sana ambazo hazikutimizwa. Kuna mawazo makubwa ya kibiashara ambayo hayakutimizwa… Kuna mawazo na ndoto kubwa za mabadiliko

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz