Huduma kwa mteja; sehemu muhimu iliyosahaulika na wajasiriamali.

By | December 15, 2014
Moja ya changamoto zinazowakabili wajasiriamali wengi wa kitanzania ni huduma kwa wateja. Huduma kwa wateja ni eneo muhimu sana kwenye maendeleo ya biashara yoyote. Wajasiriamali wengi, wakubwa kwa wadogo wamekuwa wakiwekeza nguvu zao nyingi katika kutafuta wateja wapya kwenye biashara zao. Wamekuwa wanafanya hivyo kupitia matangazo mbalimbali. Wajasiriamali hawa wanasahau

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz