Mabadiliko Yanaanzia Hapa…

By | December 17, 2014
Mabadiliko yanaanza na yule anayetaka mabadiliko… Kama unataka watu wakuheshimu anza wewe kuwaheshimu… Kama unataka watu wakupende anza wewe kuwapenda… Kama unataka watu wafanye unachotaka anza wewe kufanya kitu hiko. Ni vigumu sana kumlazimisha mtu afanye kile unachomtaka afanye. Ila ni rahisi sana mtu kuiga kile unachofanya. Badala ya kupoteza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz