Kesho Jua Litachomoza Tena…

By | December 30, 2014
Kesho asubuhi jua litachomoza tena, kama lilivyochomiza leo, jana na siku zote zilizopita.  Hii ina maana kwamba haijalishi leo mambo yako yamekwenda vibaya kiasi gani, kesho ni siku mpya na unaweza kubadili maisha yako.  Kesho jua litachomoza tena hata kama kutakuwa ja mawingu.  Hii ina maana kwamba hata kama unapitia

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz