Hii Ni Kazi Yenye Malipo Makubwa Sana Ambayo Unaweza Kujifunza Kuifanya

By | January 3, 2015
Kazi yenyewe ni kufikiri vizuri(GOOD THINKER) Kwa nini ni muhimu sana wewe kuwa mtu wa kufikiria(GOOD THINKER) 1. Watu wanaofikiria wanahitajika sana, mtu anayejua JINSI YA KUFANYA hakosi kazi, ila anayejua KWA NINI INAFANYWA anakuwa bosi wake. 2. Watu wanaofikiri wanatatua matatizo na hawakosi mawazo ya kujenga taasisi. 3. Watu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz