Wewe Ni Muumbaji… (Vitu Vitamu Muhimu Vya Kuzingatia)

By | January 10, 2015
Ndio wewe ni muumbaji… Mawazo yako yanaumba… Maneno yako yanaumba… Matendo yako yanaumba… Kuwa makini na vitu hivi vitatu ambavyo vina uhusiano wa karibu sana. Vitu hivi vitatu ndio vimekufikisha hapo ulipo, iwe unapafurahia au la. Vitu hivyo vitatu ndio vitakutoa hapo ulipo na kukufikisha unakotana. Hakuna wa kukuzuia bali

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz