Habari Za Kusikitisha; Kila Kitu Kinabadilika…

By | January 16, 2015
Leo nilipanda dala dala ambapo nilikaa kiti cha nyuma ya dereva, dereva alikuwa na mazungumzo na mtu mmoja aliyekaa mbele, anaonekana ni kondakta au dereva ila sio wa gari hiyo niliyopanda. Hivyo kwa sehemu yote ya safari walikuwa wakihadithiana ni jinsi gani anzi hizo kazi ya daladala inalipa. Waliongea sana

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz