USHAURI ADIMU; Najua Kitu Kimoja….

By | January 18, 2015
Najua kitu kimoja… kwamba sijui chochote. Kauli hii tatanishi ilitolewa na mwanafalsafa Socrates. Kauli hii inaushauri muhimu sana kwetu; 1. Kama kuna kitu kimoja muhimu ambacho unatakiwa kujua ni kwamba hujui chochote. 2. Jiulize kwa kile ambacho unafikiri unakijua, na utagundua kwamba hukijui maka ulivyofikiri unakijua. 3. Huwezi kujua kila

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz