Uhusiano Kati Ya Mafanikio Na Tabia Ya Kuahirisha Mambo.

By | January 20, 2015
Katika kipengele hiki cha tabia za mafanikio tunaendelea kujifunza jinsi ya kujijengea tabia ya kutokuahirisha mambo. Kama ambavyo tumekuwa tukiona awali, tabia ya kuahirisha mambo imekufanya mpaka sasa umeshindwa kufanya mambo makubwa sana kwenye maisha yako. Leo tutaangalia uhusiano kati ya mafanikio na tabia ya kuahirisha mambo. Uhusiano kati ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz