THINK AND GROW RICH; Hatua ya Tatu Ya Kufikia Utajiri; Kufikia akili yako ya ndani – 1

By | January 29, 2015
Akili ya binadamu imegawanyika katika sehemu tatu, kuna akili inayofikiri na kufanya maamuzi (conscious mind), kuna akili isiyofikiri wala kufanya maamuzi ila inapokea kila taarifa inayoingizwa(subconscious mind) na kuna akili ya juu kabisa inayotawala akili hizi(superconscious mind). Akili ya ndani ambayo haifanyi maamuzi ina nguvu kubwa sana ya kuwez akupokea

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: THINK AND GROW RICH

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz