Mbinu Sita za kukuza biashara yako.

By | February 9, 2015
Kila mtu anayeingia kwenye ujasiriamali na biashara, moja ya malengo yake ni kukua kupitia biashara hiyo. Wajasiriamali wengi huanza kidogo wakitegemea kwamba kwa kufanya juhidi na maarifa watakua na kufikia nafasi kubwa sana. Kwa Bahati mbaya sana hiki sio kinachotokea kwa wajasiriamali wengi. Wajasiriamali wengi wanaishia kuendesha biashara ambazo zinadumaa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz