UAMINIFU; Jinsi ya kujijengea tabia ya uaminifu.

By | February 10, 2015
Kama tulivyoona kwenye makala iliyopita, uaminifu ni tabia muhimu sana kw amtu yeyote anayetaka kufikia mafanikio makubwa kwenye maisha yake. Kuna watu ambao wanafikiri ukiwa masikini au ukiwa huna mafanikio basi huwezi kuwa mwaminifu. Na watu hawa hufikiri kwamba wakishakuwa na mafanikio basi wataanza kuwa waaminifu. Kosa kubwa sana, haufanikiwi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz