Nani ni mshindani wako kwenye biashara? Umuhimu wa kujua na jinsi ya kutumia vizuri ushindani.

By | March 16, 2015
Kila biashara ina ushindani, kama unaamini kwamba biashara yako wewe haina ushindani basi bado hujaijua vizuri biashara unayofanya. Na kwa maana hiyo basi upo kwenye hatari kubwa sana ya kuondolewa kwenye biashara hiyo kama hutobadilika. Katika makala ya leo hapa kwenye KONA YA MJASIRIAMALI, tutajadili umuhimu wa kujuwa mshindani au

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz