Huu Ndio Ukoma Wa Zama Hizi, Na Jinsi Unavyoweza Kuuepuka.

By | March 17, 2015
Moja ya magonjwa ambayo yamewahi kuisumbua sana dunia ni ugonjwa wa ukoma. Huu ni ugonjwa ulioua watu wengi sana na kuacha wengine wakiwa kwenye hali mbaya sana. Changamoto kubwa ya ugonjwa huu ni kwamba ulikuwa wa kuambukizwa. Yaani ukikaa na mtu mwenye ukoma na wewe unapata ugonjwa huu. Kwa hiyo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz