KIPAUMBELE; Tabia zinazoharibu kipaumbele chako kwenye maisha.

By | March 24, 2015
Pamoja na umuhimu mkubwa wa kuwa na kipaumbele kwenye maisha, bado watu wengi sana hawana kipaumbele au hata kama wakiwa nacho wanashindwa kukitekeleza. Kuna changamoto nyingi sana zinazowafanya watu kushindwa kuweka kipaumbele au kushindwa kufanyia kazi kipaumbele walichoweka. Na changamoto hizi zinaanzia kwenye tabia ambazo mtu anakuwa nazo. Katika makala

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz