BIASHARA LEO; Tumia Kigezo Hiki Katika Bei Ili Uweze Kufanikiwa.

By | April 6, 2015
Ni kigezo gani ambacho unatumia kupanga bei ya bidhaa au huduma zako? Je unaangalia watu wanaweza kumudu? Je unaangalia ni bei ipi itakuletea wateja wengi? Je unaangalia wengine wameweka bei gani? Vigezo vyote hivyo unawez akuvitumia ila kuna kigezo kimoja muhimu sana ambacho wengi, hasa wafanyabiashara wadogo hawakitumii. Kigezo hiki

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz