BIASHARA LEO; Mpe Mteja Chaguo Mbadala.

By | June 27, 2015
Wafanyabiashara wengi wamekuwa wakipoteza wateja kwa kushindwa kufanya kitu rahisi sana, kutoa chaguo mbadala kwa wateja wako. Kwa mfano mteja amekuja anataka kitu fulani ambacho wewe huna, badala ya kumwambia tu mimi sina hicho na aondoke, unaweza kumwambia sina hicho unachotaka ila kuna hiki kingine ambacho kinafanya kazi sawa na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In