UKURASA WA 207; Unaposema NDIO Maana Yake Umesema HAPANA.

By | July 26, 2015
Kuna neno zuri sana na lenye manufaa tunaloweza kulitumia kwenye maisha yetu ya kila siku na likatuwezesha kufikia mafanikio makubwa. Neno hilo linatuokolea muda wetu, linatunza fedha zetu, linatuweka karibu na wale tunaowapenda na linatuma nafasi ya kukaa na sisi wenyewe kwa muda mrefu. Neno hili linatuwezesha sisi kupata muda

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz