UKURASA WA 211; Fanya Bila Ya Ajenda.

By | July 30, 2015
Tukiweka unafiki pembeni, mambo mengi tunayofanya kwenye maisha yetu tunayafanya tukiwa na ajenda fulani. Mara nyingi umekuwa unafanya kitu au kukubali kitu kwa sababu unajua matokeo yatakayotokea baada ya hapo yatakunufaisha kwa kiasi fulani. BILA AJENDA MAISHA YANAKUWA MATAMU KAMA HIVI…. UNARUKA VIHUNZI TU…. Vizuri sana kama una hisia hizi,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz